Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Mashindano ya kukiss kwa mara ya kwanza yafanyika huko Uganda!!!


Hii inaweza kuwa ni Mara ya kwanza kuisikia ila huko Uganda kwa mara ya kwanza wakati wa siku kuu za mwaka mpya wakati wengine wakiwa kanisani huko sehemu inayoitwa Mukono limefanyika tamasha la kukisiana ambalo liliitwa The kissing festival , ambapo watu hushindana kukiss na mpenzi ama rafiki yako..Tamasha hilo limekuwa Gumzo sana 
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI. 

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top