Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Mwanamuziki Suma Lee Akata Shauri Aamua Kuacha Mziki, Aagiza Nyimbo zake zifutwe na Redio Wasizipige Tena

Hit maker wa ‘Hakunaga’, Suma Lee amesema kuwa hatafanya tena muziki kwasababu ameachana kabisa na maisha hayo na ameamua kusomea dini ya kiislam

Suma ambaye alitengeneza pesa nyingi kupitia hit yake ya ‘Hakunaga’, amesema kuwa hana mpango wa kuzitoa nyimbo zake zilizoko studio ambazo hazijatoka.

“sifanyi tena muziki na nimeachana kabisa na maisha hayo, na nyimbo zote zilizobaki studio nimezisimamisha zisitoke baada ya kuzilipia, “ Alisema Suma.

“kuna wimbo mmoja nimefanya na Cp ambao ndio ulikuwa wa kurudisha kundi la Parklane, pia nimeuzuia, labda Cp auchukue yeye.Kilichobaki ni kuwaombea wazazi wetu waliotutangulia, wengine walikuwa hawataki tufanye kazi hizi, kwa kuwa hawapo na hakuna wakutukataza tena, bora tukae na kuwaombea.”

YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON‏

 
YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +447557304940
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
Ukumbi wa Royal Regency ndio sehemu pekee ambayo utawaona YAMOTO BAND kwenye jiji la LONDON usiku wa 21. Feb 2015
Usiku wa tarehe 21 February 2015 The Royal Regency patakuwa hapatoshi. Kwa kuondosha usumbufu wahi ticket yako mapema
 Kiingilio ni:
£25 kwa Ticket ya kawaida
£35 kwa VIP ticket
Kama Unahitaji VIP table for 10 people piga simu 07405824696 kwa maelezo zaidi au tuma email kwenda: info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
YAMOTO BAND will be alongside supported artist such as Sultan King, OJ, Hyper hype And many more,why wait grab your ticket Now!!!! 
HOT LINE FOR TICKET 07853482158/07557304940
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

(Bonge la Wimbo) ..... EXCLUSIVEEE...DOWNLOAD na SIKILIZA WIMBO MPYA wa DIAMOND - MARADHI YA MOYO

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

CASSIM MGANGA - NAFSI NYONGE (OFFICIAL VIDEO)

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA FEBRUARI 12-15 ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Bodi ya Tamasha la Sauti za Busara Simai Mohamed Saidi (wa pili kushoto) akizungumza.
Sehemu ya waandishi wa habari waliokuwa kwenye hafla hiyo.
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ally Kiba (kulia) akielezea  namna alivyojipanga kuburudisha kwenye tamasha hilo.
…Akipeana  mkono na viongozi kwenye mkutano huo.
TAMASHA la Sauti za Busara  linatarajiwa kufanyika Februari 12 hadi 15 mwaka huu  huko Mji Mkongwe (Stone Town) Zanzibar.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, muandaaji wa tamasha hilo,  Dave Ojay Haashim,  alisema madhumuni  ya tamasha hilo ni kuwaweka pamoja watu kutoka sehemu mbalimbali  duniani ili kusherehekea muziki wa Afrika chini ya anga la Zanzibar ambapo pia kutakuwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya.
Tamasha hilo la 12 tangu kuanzishwa kwake limekuwa likifanyika kila mwaka kwa kuhusisha wasanii kutoka pande mbalimbali za dunia ambao huimba moja kwa moja jukwaani (live) kwa kutumia zana za muziki.
Naye Mkurugenzi wa Busara Promotion, Yusuf Mahmoud, alisema msimu huu jumla ya wasanii na vikundi 680 viliomba kushiriki lakini baada ya mchujo vilibaki vikundi 37 pekee.
Alisema kati yake 19 ni kutoka Tanzania na wengine wanatoka nchi mbalimbali wakiwemo Blitz The Ambassador mwenye asili ya Ghana anayeishi na kufanya kazi zake huko Brooklyn, Marekani.
Pia aliongeza kuwa  kutakuwa na filamu maalum kwa ajili ya kumuenzi Fatuma binti Baraka (Bi Kidude ) na kila mshiriki atatakiwa kuimba wimbo wa kuhamasisha amani na watatu watakaoimba vizuri watapewa tuzo pamoja na kitita cha Sh. milioni tisa.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Nyingine mpya kutoka kwa Rihanna safari hii kawashirikisha Kanye West na Paul MacCartney.

riha 
Staa wa muziki Robyn Fenty Maarufu “Rihanna” ametoa single mpya ‘FourFiveseconds‘ akiwashirikisha mastaa wenzake Kanye West pamoja na Paul MacCartney.
Tangu atoe nyimbo yake ya Jump Rihanna sasa amerudi upya na kuahidi mashabiki wake mambo mazuri zaidi ikiwa pamoja na kutoa albamu yake mpya mwaka huu USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

R. KELLY - HAPPY BIRTHDAY (OFFICIAL MUSIC VIDEO)

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Angalia Video Mpya Kutoka kwa Yamoto Band ya Wimbo wao Mpya Nitakupwelepweta

Style ya muziki wanaoufanya imewafanya kupanda mashabiki wa umri tofauti,Yamoto Band wametuletea video yao mpya hii inaitwa Nitakupwelepweta, imeongozwa na Adam Juma.

Bonyeza play kutazama: USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

YAMOTO BAND - NITAKUPWELEPWETA [OFFICIAL VIDEO]

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Kama unaupenda muziki wa Jamaica, hizi ni video 3 za juu kwenye Top10

Screen Shot 2015-01-22 at 2.17.26 AM 
Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana kwenye bara la Afrika kikikita zile ngoma kali za kila upande wa dunia ambapo time hii kimetusogezea kali za Jamaica kwenye Top10 yake.
Ishawna Restraining Order
J Capri-Lyrics to the song
Spice, Vybz Kartel- Conjugal Visit
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Ninayofuraha ya kukuletea hii video mpya ya Avril ft Ommy Dimpoz- Hello Baby

.
Hii ni video mpya ya msanii kutokea Kenya, Avril iitwayo Hello Baby aliyomshirikisha Ommy Dimpoz.Ukishaitazama pia usisahau kuachia comment yako ili wakipita wakutane na maoni ya fans wao.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Dakika 10 za Diamond Platnumz Burundi, mashabiki walivyodata nae!

Diamond Br 
Ameichukua bendera ya Tanzania na kuipa heshima kubwa kila alikokwenda, kuanzia kwenye mashindano ya tuzo mpaka kwenye show anazopiga.
 hizi dakika zake kumi akiwa Burundi. USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Vanessa Mdee, Jux, Nahreel na Aika wamepiga show Zanzibar ilikuwa hivi.

.
Usiku wa Jan 17 wakali wa Bongo Fleva Vanessa Mdee, Jux, Nahreel na Aika wamepiga show ya nguvu iliyopewa jina la Love Kwa Ma Fans iliyofanyika kwenye uwanja wa Ngome Kongwe, Zanzibar.
Miongoni mwa wasanii walio share jukwaa kuamsha hisi za mashabiki kutokana na burudani kali ni Baby J pamoja na msanii kutoka Endless Fame Mirror.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye show hiyo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Nahreel kwenye stage.
.
Aika akitoa burudani ya nguvu.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Jux akiimba kwa hisia.
.
.
.
.
.
.
.
Jux.
.
Mashabiki.
DSC_0334
Vanessa Mdee akiwa jukwaani.
DSC_0317
Vanessa Mdee jukwaani.

.
Vanessa Mdee akiimba kwa hisia.
.
.
.
Jux na Vanessa Mdee wakitoa burudani kwa mashabiki.
.
Vanessa Mdee na Jux wakiwa jukwaani.
.
Vanessa Mdee akitoa burudani ya nguvu kwa mashabiki.
.
Jux akitoa burudani jukwaani.
.
.
.
Aika na Nahreel.

.
Vanessa Mdee.
.
Jux.
DSC_0039
Sahbiki akipiga picha aina ya Selfie na msanii Jux.

.
Jux akiwa na Baby J .
.
Baby J akiwa na Dancers wake.
.
.
DSC_0053
.
DSC_0054
.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top