Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015.
 
Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.
Kaci Fennell aliwataja Bob Marley na Usain Bolt kuwa watu waliotoa mchango mkubwa kwa dunia kutoka nchini mwake.
Miss Universe 2015, Paulina Vega akiwa katika vazi la taifa lake.
Top 5 kutoka kushoto: Miss Colombia Paulina Vega; Miss Jamaica Kaci Fennell; Miss Ukraine Diana Harkusha; Miss Uholanzi Yasmin Verheijen; na Miss USA Nia Sanchez.
 
Mashabiki wa Miss Jamaica baada ya matokeo hayo walivamia mitandao ya kijamii ikiwemo Twitter kumtangaza mrembo huyo aliyejipatia umaarufu pengine zaidi ya mshindi.
MISS Colombia, Paulina Vega atwaa taji la Miss Universe 2015 katika fainali zilizofanyika jana huko Miami nchini Marekani huku umati ukizomea kuonyesha kutoridhika na matokeo hayo.
Umati uliohudhuria fainali hizo ulitarajia Miss Jamaica Kaci Fennell aliyeshika nafasi ya nne kutwaa taji hilo lakini ulionyesha kushangazwa na maamuzi ya majaji kumtangaza Miss Colombia Paulina Vega mwenye miaka 22.
Zomea zomea zilisikika mara baada ya mshindi huyo kutangazwa huku kukiwa na minong'ono ya hujuma katika mashindani ya mwaka huu.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

SITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI HOSPITALI YA MKOA ILALA

Mbunge wa Jimbo la Ilala  Mhe Mussa Azzan Zungu akiongea na Waandishi wa Habari ( pichani hawapo)  mara baada ya kupokea  vifaa mbalimbali  vya kuhifadhia taka na Sabuni.
Mwenyekiti wa Sitti Tanzania Faundation, Sitti Mtemvu (wa tatu kulia) akimkabidhi vifaa vya kuhifadhia taka Mbunge wa Jimbo la Ilala  Mhe.  Mussa Azzan Zungu (kushoto), kwa ajili ya Hospitali ya Mkoa wa Ilala Dar es Salam.  kuanzia kushoto  nyuma ya mbunge ni Diwani wa kata ya Kinyerezi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Leah Mgitu katikati ni mama mzazi wa Sitti Mariam Mtemvu, wa kwanza kulia ni Diwani wa Kata ya Ilala kupitia Chama cha Mapinduzi  Edson Fungo na anaefuatia ni  Daktari Kiongozi wa Hospitali ya Mkoa Ilala
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Under The  Sun Tanzania  Bi. Vicky Ntetema (kulia) , akifafanua jambo wakati Mwenyekiti huyo alipotembelea kituo hicho
Afisa utetezi  Bw. Kondo Seif (wa kwanza kushoto)  akitolea maelezo ya ukosefu wa rangi asili mwilini ambayo huathiri ngozi, macho na nywele na kukosekana kwa  melani mwilini, akisema miongoni mwa athari zake ni wepesi wa kuungua na jua unapotembea juani na ufanyapo kazi juani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Under The  Sun Tanzania  Vicky Ntetema (kulia) akimuonyesha Mwenyekiti wa Sitti Tanzania Foundation,  Sitti Mtemvu (kushoto)  Picha ya mtoto  alie tekwa akiwa mgongoni mwa mama yake. Wa pili  kushoto ni Mama mzazi  wa Sitti.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

ALIYEIPONZA MISS TZ APOKEWA KIFALME MORO


MSHIRIKI wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014, aliyeshinda taji hilo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na baadaye kuthibitika kuwa alighushi umri na hivyo kulitema na kusababisha kufungiwa kwa shindano hilo, Sitti Mtemvu, juzikati alipokewa kama mfalme alipofanya ziara fupi mjini Morogoro.
 
 Mshiriki wa Shindano la Miss Tanzania mwaka 2014 Sitti Mtemvu.
Mrembo huyo ambaye hivi sasa anaongoza taasisi yake inayofahamika kama Sitti Tanzania 2015, alipofika mjini hapa, baadhi ya mashabiki wake walijipanga kutokea eneo la Nanenane na kuambatana naye hadi katika hospitali ya mkoa ambako alitoa msaada wa vyandarua katika wodi ya wazazi.
Baada ya kukabidhi misaada hiyo, mrembo huyo ambaye baba yake mzazi ni Mbunge wa Jimbo la Temeke, alikwenda hadi ofisi za Chama cha soka mkoani hapa na kutoa msaada wa mipira mitano na seti moja ya jezi kwa lengo la kusaidia kuimarisha michezo.
“Najisikia vizuri sana nimepokelewa kama mfalme, kundi la wananachi wa Morogoro walijipanga maeneo ya Nanenane ambapo walinipokea, binafsi sikutarajia kukutana na mapokezi kama haya, mimi ni Mluguru na nimekuja kwetu Morogoro kuwasaidia watu wenye uhitaji mbalimbali,” alisema binti huyo baada ya kumaliza shughuli zake.
Lakini katika hali ya kushangaza, alipoulizwa kuhusu anavyojisikia baada ya kulitema Taji la Miss Tanzania, Sitti alijibu kwa mkato; “Sijisikii vibaya na wala sitaki kuzungumza ishu ya Miss Tanzania,” alisema na kukatisha mahojiano hayo hapohapo kabla ya kuingia kwenye gari lake bila hata kumuaga mwandishi.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Hawa ndio wawakilishi kumi wa Afrika kwenye Miss Universe 2014 (Pichaz)

Ethiopia-3
Zimebaki siku mbili kuifikia siku ya fainali ya Mashindano ya Miss Universe 2014, ambayo yatafanyika Miami,  Marekani January 25, 2015.
Tuliona taarifa kuhusu mshiriki wa Tanzania, Nale Boniface kuwa moja ya washichana waliosifiwa zaidi na mwandaaji wa Mashindano hayo, KURA yako ina nguvu kumuongezea nafasi ya ushindi mshiriki huyo, utaratibu wote uko hapa >>>MissUniverse.com
Huenda uliwafahamu wachache, leo nimekuwekea pichaz zao wote uwajue, wawakilishi kumi wa Afrika kwenye Mashindano hayo wako hapa pamoja na majina yao na nchi wanazowakilisha pia.
Angola-1
Zuleica Wilson, Mwakilishi wa Angola.
Tanzania-1
Nale Boniface, Mwakilishi waTanzania.
Egypt-3
Lara Debbane, Mwakilishi wa Misri.
Ethiopia-3
Hiwot Mamo, Mwakilishi wa Ethiopia.
Gabon-3
Maggaly Ornellia Nguema, Mwakilishi wa Gabon.
Ghana-3
Abena Appiah, Mwakilishi wa Ghana.
Kenya-1
Gaylyne Ayugi, Mwakilishi wa Kenya.
Mauritius-2
Pallavi Gungaram, Mwakilishi wa Mauritius.
Nigeria-2
Queen Celestine, Mwakilishi wa Nigeria.
South-Africa-2
Ziphozakhe Zokufa, Mwakilishi wa South Africa.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

PICHA ZA MODEL WA TANZANIA HEREITH PAUL KUPAMBA JARIDA LA MAREKAN LIITWALO U.S.A Glamour LA FEBRUARY

 



USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Fashion Ilivyomuaibisha Mcheza Filamu Laura Govan na Kuonyesha Chuchu zake... Angalia picha.

Staa kutoka Marekani anayejulikana kama Laura Govan mcheza filamu, amefanya kitendo cha aibu kwenye red carpter baada ya nguo yake alikumuibisha na kumfanya sehemu za kifua hasa kwenye matiti yake kubaki wazi na kuonyesha chuchu zake.
Mara nyingi hizi fashion zimekuwa ziwafanyia kitu mbaya sana hawa wadada wengine imefikia hatua mpaka wanavuliwa nguo kabisa lakin hawasikii kabisa
                matiti
Kama ukitaka kuangalia picha hizi lazima uwe na miaka zaidi ya kumi nane

                                  PHOTO 1, PHOTO 2,

USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

WEMA SEPETU HAPA, SITTI MTEMVU KULE! #UHeard

Wema Sepetu alipovalishwa Taji la Miss Tanzania 2006.
Soudy Brown leo katuletea U Heard inayowahusu Wema Sepetu na Sitti Mtemvu ambao waliwahi kuvaa Taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti.
Soudy amewalinganisha Wema na Sitti kwamba, wakati ambao Wema alishinda Taji hilo kulikuwa na story kwamba ameongopa umri kwa kujiongeza miaka miwili huku Sitti kukiwa na story ya kupunguza umri miaka miwili pia story ya kwamba wote walikuwa wanene.
 Sitti Mtemvu baada ya kuvishwa Taji la Miss Tanzania 2014.
Kuhusiana na Sitti kujivua Taji, Wema amesema kama ingekuwa ni yeye asingevua taji kutokana na mambo ambayo yalikuwa yakizungumzwa mitandaoni baada ya kuvishwa Taji hilo.


USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA KWA KURA

Miss Tanzania 2013/14, Happiness Watimanywa akiwashukuru watanzabia kupitia kikao chake na waandishi wa Habari kilichofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam.
Miss namba mbili 2014/15 Jihan Dimack (kushoto), akiwa na Happiness Watimanywa wakati alipokuwa akiwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam.
MISS Tanzania /World 2014, Happiness Watimanywa mapema leo amewashukuru watanzani wote waliyotumia muda wao kumpigia kura alipokuwa katika harakati za kuiwakilisha nchi katika kuwania taji la kuwa Miss World 2014.
Akizungumza kwenye kikao cha waandishi wa habari kilichofanyika ndani ya Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam, alisema kuwa alipokuwa katika mchakato huo alifarijika sana baada ya kujikuta akiingia kwenye nafasi ya pili ya Dunia,  mashindano hayo kupitia kitengo cha kura za watu.
“Sina budi ya kutumia muda huu kuwashukuru Watanzania wote kwa mchango wao waliouonyesha kwangu, maana katika nafasi ya kura ya kuchaguliwa na watu kupitia mitandao nilishika nafasi ya pili jambo ambalo lilinipa faraja kubwa sana na kunifanya niione nchi yetu ni namna gani ilivyoamka katika suala zima la kuwajali watu wake,”
“Kwakutambua hilo napenda kutoa shukurani zangu kwa kila mtanzania aliyetumia muda wake kunipigia kura hata waliyoniombea, naamini kabisa kwa namna walivyonifanyia siku nyingine kama kuna mrembo atakaye enda huku atakuwa nanafasi kubwa sana ya kutwaa taji hilo,” alisema Timanywa.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AONDOKA RASMI KUELEKEA JIJINI MIAMI KWENYE FAINALI ZA DUNIA

 
Mrembo wa miss Universe Tanzania 2014,Carolyn Bernard ameondoka rasmi nchini kuelekea nchini Marekani kwenye fainali za  dunia za Miss Universe zitakazofanyika jijini Miami tarehe 25 mwezi huu wa januari.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Rushwa, ngono tatizo Miss Tanzania

“Kwa sasa hana uamuzi wowote mpaka pale atakapokuwa amepewa barua rasmi.” Lundenga 
Dar es Salaam.  Serikali imesema imeyafungia mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandaaji kukiuka taratibu na kanuni huku pia yakitajwa kukithiri kwa rushwa ya ngono na upendeleo.
Mashindano hayo yalifunguliwa mwaka 1994, yamefungiwa kwa miaka miwili baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa wananchi na washiriki.

Shindano la Miss Tanzania limefungiwa. Taarifa kamili ipo hapa.

Update_810_500_55_s_c1 
Tangu atangazwe aliyekuwa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu mengi yameongelewa kuhusiana na tetesi za udanganyifu wa umri na vitu vingine kadhaa vinavyomhusu mrembo huyo ikiwemo suala la umri wake na kiwango cha elimu yake ambapo yeye mwenyewe alikanusha taarifa hizo.

MISS: U-MISS NI STRESS TUPU!

MISS Tanzania namba 3 (2014), Dorice Mollel, amesema mashindano ya u-miss ni ‘stress’ tupu hivyo kama mrembo anataka kuingia ni lazima kujidhatiti na kukubali changamoto nyingi.

Miss World 2014 ndio ilikuwa leo, matokeo yote yapo hapa pamoja na picha

#MW2 Stage saiikk
Miss World 2014, Rolene Strauss aliyeiwakilisha South Africa akifurahi baada ya kutangazwa mshindi wa Taji la Miss World 2014.

Diamond kashinda Channel O, Idris BBA, huyu mwingine kaipa Tanzania headlines hizi nzuri saa kadhaa zilizopita.

Happy Watmanywa III
Jana December 10 2014 Watanzania walimpokea kwa shangwe mwakilishi wao kwenye BBAHotshots Afrika Kusini, Idris ambae ndie alitangazwa mshindi wa dola za kimarekani laki tatu siku kadhaa tu baada ya Diamond kuing’arisha Tanzania kwa kushinda tuzo 3 za Channel O.
Good news nyingine ni mshiriki wetu kwenye Mashindano ya Miss World, Happiness Watimanywa ambae saa chache zilizopita imethibitika kwamba ameiwakilisha vizuri Tanzania na kuifanya iingie kwenye kumi bora za mashindano ya Miss World People’s Choice.

Picha kutoka Swahili Fashion Week Des 7 zikiambatana na Tuzo

.
.
Maonesho ya mitindo ya Swahili Fashion Week 2014 yanayofanyika mara moja kwa Mwaka Des 7 yalihitimishwa katika hoteli ya Sea Cliff Dar es Salaam.Wabunifu mbalimbali wa mitindo kutoka Tanzania na nchi nyingine walionesha mavazi yao huku zikiambatana na tuzo za washindi wa Swahili Fashion Week waliofanya vizuri 2014.

NCHI 10 ZINAZOONGOZA DUNIANI KWA KUWA NA WAREMBO WAZURI.JE TANZANIA IPO WAPI?


Asikwambie mtu WANAWAKE ni miongoni mwa vitu vilivyo umbwa na Mungu ambavyo ni vizuri sana,Na vinabaki kuwa vizuri hata kama vikienda wapi..Hata hivyo kwa nchi nyingine wanavuka mipaka na hata kuwa kama MALAIKA!! na kama huamini We tembelea nchi hizi tu utakubali tu...!!!

UTATA! ZAWADI ZA MISS TANZANIA ALIZOPEWA SITTI MTEMVU KURUDISHWA?! LUNDENGA AFUNGUKA KIIVI!


Mkurugenzi wa LINO International Agency ambao ni waandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga amesema miongoni mwa maswali aliyokutana nayo kwa wingi jana kwenye ‘Kikaangoni’ ya EATV, ni pamoja na swala la Sitti Mtemvu kama atanyang’anywa zawadi alizopewa ili akabidhiwe aliyevishwa taji hilo baada ya yeye kujivua.

MISS HONDURAS 2014 NA DADA YAKE WAPATIKANA WAKIWA WAMEKUFA BAADA YA KUPOTEA TOKA ALHAMISI


Miss Honduras 2014, Maria Jose Alvarado. Photo Credits: Eye of Beauty
Habari zinazoripotiwa hivi punde na shirika la habari la AP kutoka TEGUCIGALPA, Honduras zinasema kuwa mwili aliyekuwa Miss Honduras 2014 pamoja na dada yake imekutwa ikiwa imezikwa karibu na SPA ambapo walikwenda siku ya Alhamis kusherehekea siku ya kuzaliwa ya rafiki wa kiume wa dada wa Miss huyo.

MISS TANZANIA 2013 HAPPINESS WATIMANYWA TAYARI YUKO LONDON KUWANIA MISS WORLD.

KUMEKUCHA MISS TZ WAREMBO WA UWASHA MOTO GYM

                                            http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/8.jpegWarembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili katika kambi  jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na kinyang’anyiro hicho, na wawapo kambini huwa wanapa semina muda asubuhi na mapumziko ya mchana jioni huwa wanafanya mazoezi katika chumba maalumu cha mazoezi ‘Gym’ kwa ajili ya kujitayarisha miili yao iwe kwenye muonekano mizuri kimashindano.
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top