Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KUMEKUCHA MISS TZ WAREMBO WA UWASHA MOTO GYM

                                            http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/8.jpegWarembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili katika kambi  jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na kinyang’anyiro hicho, na wawapo kambini huwa wanapa semina muda asubuhi na mapumziko ya mchana jioni huwa wanafanya mazoezi katika chumba maalumu cha mazoezi ‘Gym’ kwa ajili ya kujitayarisha miili yao iwe kwenye muonekano mizuri kimashindano.


http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/11-1.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/2.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/6.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/12.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/5.jpeg
http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/1.jpeg
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top