Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

WASIKILIZE UHARIBU MAISHA YAKO

KUNA msemo mmoja mashuhuri sana unasema mswahili atakunyima kila kitu, lakini si maneno, ambao hapa tunaweza kuutafsiri kama umbeya. Yes, waswahili kwa umbeya hawajambo, wanazungumza mambo hadi mwenyewe unashangaa, yaani wanakufahamu kuliko unavyojifahamu mwenyewe, hata kama mmefahamiana muda mfupi tu uliopita.
Siyo jambo baya kwa sababu ndiyo utamaduni tuliorithi kutoka kwa vizazi vilivyotangulia na kadiri dunia inavyobadilika, ile hali ya watu kujali zaidi maisha yao binafsi kuliko ya mtu, ndivyo utamaduni huu nao unavyozidi kufifia.
Zamani ilikuwa kawaida kukuta kijiwe cha kahawa kinaanza asubuhi hadi usiku, siku hizi ni vijiwe vya kuhesabu na hata wanaokaa kutwa nzima kijiweni wanazidi kupungua, ingawa idadi kubwa ni watu wenye umri mkubwa. Vijana wanapungua vijiweni kwa sababu wameshagundua hakuna mtu wa kuwasaidia maisha yao pasipo wenyewe kwenda spidi.

Nina ushauri mmoja kwa akina dada kwa sababu wao ndiyo waathirika wakubwa wa umbeya. Hii ni kwa sababu akinababa kidogo wana nafuu. Wanasikiliza na kushiriki umbeya, lakini hawajali, yaani kwao mambo yanaishia hapohapo kijiweni, wachache wanaoweka kichwani, ni wale ambao fainali imeshawakuta!
Shiriki umbeya, kwa sababu wakati mwingine hauwezi kuukwepa, lakini kuwa na akili ya ziada. Siyo kila utakaloambiwa ni baya, hapana.
Yapo mengine ni mazuri, yaweke na yafanyie kazi, lakini nina uhakika, kwa asilimia zaidi ya 80, wanawake wanaongea mambo yasiyowasaidia, yaani huyu ana vile, yule ana hivi, wale wanafanya hivi na mambo mengine kama hayo.
Usiwasikilize na kuwaamini. Jione kama uko peke yako na kila anayekuzunguka ni adui. Kuwa makini na unachokiongea mbele yao, na usiwe wakala wa kusambaza kinachozungumzwa nao. Ukiwa hivi, utajiweka salama.
Na hata ukiletewa umbeya, kwamba unasemwa vibaya na huyu, usiwe na haraka ya kuamua mambo, wakati mwingine kusemwa vibaya na kuyaacha kama yalivyo ni baraka.Ila nikusisitize kitu kimoja, mwanamke ana nafasi kubwa zaidi ya kufanikiwa kimaisha duniani kuliko mwanaume, kwa sababu amepewa kila kitu, hasa uwezo wake wa kumshawishi mwanaume amsaidie kufikia ndoto zake!

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2

Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza wakiwa na michepuko huweza kuleta maradhi ndani ikiwa ni pamoja na migogoro inayosababisha kuachana.
KWA NINI UZUNGU UAMBATANE NA USALITI?
Wiki iliyopita tuliishia kwenye neno hili; ni sababu mbaya sana kusema ‘mtu wangu Mzungu’. Kisa hakuchunguzi, hakufuatilii.
Wengi wanaotoa madai au sifa hizo ni wale wasio na uadilifu na siku zote watu wasio na uadilifu ndiyo wanafurahia sana maisha ya kutofuatiliwa.Ukimwona mtu anasema mtu wake ni Mzungu maana yake ana mambo yake mengi ya siri lakini hayafuatiliwi kiasi cha kuwa kukamatwa au kujulikana nyendo zake.
Hii sifa imeshamiri sana katika jamii ya ‘Kiswahili’. Lakini wewe msomaji wangu ambaye upo katika uhusiano, chukulia kwamba, una mwenza anakusaliti lakini wewe hujui kwa sababu hufuatilii na unaitwa Mzungu. Je, siku ukijua Uzungu utauonaje?
 DHANA MBAYA KUWA NZURI
Mambo ya kutofuatiliwa yanaambatana na mawazo ya ubaya kuwa mzuri. Kwa nini nasema hivi? Kuna watu wanadiriki kusema hadharani maneno haya:“Mimi bwana simu yangu mwenzangu hashiki kabisa. Mimi sishiki yake na yeye hashiki yangu.”Hawa wanaosema hivi ni wana ndoa zaidi. Wanamwagiana sifa kwa kila mmoja kutoshika simu ya mwenzake, kwamba ni sifa kwao.
Lakini kusema ule ukweli, hata wewe msomaji tafakari kwa makini sana ukitumia akili za ndani. Je, ni sawa kwa wanandoa kuogopana kwenye simu? Mna nini cha siri ambacho mwenzako hatakiwi kushika?
 
MZUNGU MWENYEWE SASA
Kama utamkuta Mzungu anayesifiwa kwa kutokuwa na tabia ya kufuatilia mambo ya watu, atakwambia sababu kubwa ni kuamini.Niliwahi kuzungumza na mtu (Mzungu) mmoja anaitwa Frank, alisema kuwa, kwa Wazungu mtu kufumaniwa ni nadra sana kwani walio wengi ni waaminifu.
Alisema Wazungu wanaofumaniwa historia zao zinaonesha kuwa, alishatoka Uzunguni na kwenda kuishi mbali na kujikuta akibeba tabia za ugenini.Kwa hiyo ninapenda kumalizia mada yangu leo kwa kusema kwamba, matumizi  ya neno ‘mi mtu wangu Mzungu’ yasiambatane na usaliti wowote. Wapo wenza ambao hawaaminiki si kwa sababu wasiowaamini wana tabia za wivu uliopitiliza, bali kwa sababu ya matukio mbalimbali ya usaliti ya hao wasioaminika!
KUNA HULKA YA USALITI
Mbaya zaidi ni pale baadhi ya wenza kuwa na hulka ya usaliti. Wapo ambao hata akinaswa akisaliti si dawa ya kuachana na tabia hiyo, hao ndiyo wale ambao hupenda kuwaita wenza wao Wazungu. Tujisahihishe kuhusu hilo.Huu mwisho wa makala hii, tuungane wiki ijayo katika makala nyingine.


Mdada aliyekwambia kujua kuzungusha kiuno ndo tiketi ya kupata ndoa kakudanganya..

 
Kila mwanamke anavitu vyake
alivyojiwekea, ambavyo anataka
mwanaume wa ndoto zake awe navyo.
Ikitokea akampata Mwenye hivyo vitu basi
huona kamaliza kila kitu, anajisahau,
anafurahia vile anavyoviona kwa nje na
kitandani, badala aanze kumsoma huyo
Mwanaume. Kama ni husband material.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kulizwa
Sana kwenye mahusiano kuliko wanaume,
kwasababu mwanamke akishampata
mwanaume aliyekuwa anamtaka basi
atampenda kwa kila kitu, moyo na mwili
wake wote kwa haraka wakati yeye
mwanaume hakupi vyote anakuangalia
kwanza mpaka atakapoona kweli ndio kitu
anachokitaka ndio ataanza kukupenda kwa
ukweli sasa. Lakini akiona hakuna kitu
atakuchukulia poa poa na baadaye
anakupotezea, sasa wewe uliyekufa na
kuoza lazima upate ugonjwa wa moyo.
Mwanamke usiende kwenye mahusiano
kwa kuangalia picha ya nje, anza kwanza
kumwangalia Kama anaweza kuwa Mume
na je unampenda kweli, ukijihakikishia
hapo anza kuwa wife material msaidie
mwanaume hata kwa mawazo tu sio
unakaa tu kazi yako wewe ni kuzungusha
kiuno tu.
Inatakiwa ukiingia kwenye maisha ya
mwanaume mwenyewe anakiri hakuna
mwanamke Kama wewe. Unambadilisha
hata Kama hakuwa muoaji ajue umuhimu 
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Mume hanifikishi kisawasawa, Akimaliza yeye mimi nabaki bado na hamu

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI KWA NJIA YA G-SPOT

Grafenberg Spot a.k.a G-Spot ni kidude laini kama sponge chenye umbile la haragwe ambacho kipo ndani ya Uke,kwenye upande wa juu inch 2 mpaka 3 kutoka nje kuelekea ndani.
Wakati mwanamke anapozidi kupata hamu ya kupata raha na utamu,kuna tissue ambayo ipo karibu naimezunguka urethra,inakuwa engorged with blood,na kusababisha Skenes glands zitengeneze Prostatic Fluid na kufanya hicho kiharagwe kidinde/kisimame na process yake haina tofauti na process ya kusimama kwa mashine ya mwanaume,lazima uelewe kuwa kama hujazipandisha hamu zake vya kutosha,basi itakuwa kazi sana kukipata kidude hiki.

JINSI YA KUFANYA.

* Hakikisha umeshamfanyia maandalizi zaidi ya dakika 10,inatakiwa awe tayari Uke wake upo wet kabla hujaanza kusisimua G-spot yake,kuna njia mbili za kusisimua G-SPOT

1:KWA KUTUMIA KIDOLE/VIDOLE.

* Hakikisha kucha zako fupi na mikono yako misafi.

*Hakikisha Uke wake umeloa vya kutosha.

*Akiwa amelala kitandani,Ingiza kidole kimoja ( kama uke wake uko tight ) au zaidi ya kimoja ( kama uke wake sio tight sana )

*Elekeza kidole/vidole vyako viende upande wa juu wa uke kwani huko ndiko G-spot ilipo.

*Kidole/vidole vyako vitafeel kinyama au kisponge kilaini ambacho kina umbile kama kiharagwe upande wa juu wa uke.
Ukishakipata,anza kukitekenya kwa kufanya kama vile unamwita mtu au unamwambia mtu alete kitu fulani kwa ishara ya vidole,hapo kidole/vidole vyako vinatakiwa vicheze,na wala visitoke nje kwa sababu G-spot inahitaji au inataka msisimko unaoendelea.
* Endelea kufanya hivi,baada ya dakika 1 ongeza speed kidogo kulingana na jinsi anavyojisikia.

*Unaweza kumfanya azidi kudata kwa kulamba na kunyonya kisimi chake na muda huo huo unaendelea kustimulate G-spot kwa kutumia kidole/vidole vyako.

*Ukiwa unachezea kisimi wala hata haitochukua muda mrefu,atafika kileleni fasta,atahangaika mwenyewe hapo kitandani,kujigeuza geuza na kujinyonga nyonga,ataongea lugha za ajabu zisizoeleweka au atapiga kelele kwa hivyo jipange,tena anaweza kusquit kabisa.

Njia ya pili ni kwa kutumia MASHINE yako ukiwa tayari ushaingiza kwenye Uke wake,hakikisha unapokuwa unapump,basi lenga upande wa juu kwenye G-spot ilipo,Najua mshazoea kupump bila kuwa na lengo lakini nataka mjue kuwa ukiwa unapump,lenga upande wa juu,atafika kileleni na utamridhisha kwa haraka zaidi.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI. 

SOMA UJUE JINSI YA KUCHAGUA JINSIA YA MTOTO KABLA YA KUSHIKA MIMBA

 
Jinsi ya kuchagua jinsia ya mtoto
"Nina kukubali uwezo wako kiushauri na kiuzoefu,Umejaliwa!!..Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27,nina mchumba wangu na tuko kwenye harakati za kufunga ndoa.

HIZI NDIO SABABU ZINAZOWAFANYA WANAWAKE WENGI WATAMANI KUOLEWA NA MWANAUME MPOLE.

Ukimuuliza binti yeyote mwenye ndoto ya kuolewa,akutajie sifa za mume ampendae,sifa ya "awe mpole" itakuwa ktk orodha ya mwanzo kabisa. Katika utafiti binafsi sifa hii imetajwa na wasichana 74 ikiwa ya kwanza,,wasichana 113 ikiwa ya 2.

MWENYE TABIA NZURI HATA KAMA NI MBAYA WA SURA NA UMBO BADO NI MZURI: SOMA HII UTANIELEWA

http://theclicktz.com/
Stacey Tantleff-Dunn mtalamu wa afya ya ulaji na mwonekano anasema kwamba, vipimo vya uzuri kwa wanawake vimegawanyika. Kwa kawaida wanaume hupima uzuri wa mwanamke kwa sura au mwili, lakini linapokuja suala la kupata mtu ambaye wanataka kuishi naye kama mke, suala la haiba, yaani tabia na mwenendo, linachukua nafasi kubwa.

WAKUBWA TUU..!! VIBAMIA JITAHIDINI BASI MNATUTESA WANAWAKE..

 
Ni kitu kisichopingika, wanaume wengi wazurii chini hawana kitu kabisaa,samahani kama nitakuwa nimewatukana ila ni ukweli mtupu,
Pia licha ya maHB kuna wengine hawana UHB ila nao vibamia..

MWAKA WA SABA SASA, BADO MARAFIKI TU! – 2

 

MAPENZI ni pasua kichwa. Yanaumiza na kuwachanganya wengi. Kwa upande wa pili, mapenzi ni mazuri, matamu na yanasisimua sana. Ni namna ya kujipanga tu.

NJIA RAHISI ZA KUFIKISHA HISIA KWA UMPENDAYE!

NINA furaha sana kukutana nanyi tena katika ukurasa huu ambao kila siku hutufunza mambo mapya kuhusu mapenzi. Kama kawaida, leo nina mada nzuri ambayo itakufungua.Marafiki zangu, hisia za mapenzi hutokea ndani kabisa ya moyo.

SHOGA, MWILI NI RASILIMALI, UTUMIE KWA FAIDA

 
Najua nikisema sana nitaonekana kuwa nina mdomo wakati kila kiumbe hapa duniani kina mdomo, lakini kwa vile kuwapasha ndiyo ‘hobi’ yangu acha niwachane live, simuogopi mtu.

USIRUHUSU MAPENZI YAUTESE MOYO WAKO!

 
NATUMAINI hamjambo wasomaji wangu na kama unasumbuliwa na jambo lolote, iwe kiafya au kiuchumi naomba usikate tamaa kwani matatizo ni sehemu ya maisha, jambo la muhimu ni kumuomba Mungu na kujaribu kutafuta suluhu ya tatizo hilo.

NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 3

 
NIMEFURAHI tumekutana tena hapa katika All About Love, safu ambayo inatengeneza maisha ya wengi kuhusu uhusiano wao. Bila shaka hata wewe umebadilika sana baada ya kuwa mdau wa kona hii.

MBINU ZA KUAMSHA NGUVU ZA KIUME MARADUFU

HIZI NDIZO SIFA ZA MWANAMKE WA KUOA (Wife Material)..SOMA HAPA KUZIJUA USIJE UKAJUTIA MAAMUZI YAKO

Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha.

WAKUBWA TU!!!..JE WAJUA NINI HUSABABISHA HAMU YA KUFANYA MAPENZ KILA MARA , SOMA HAPA

 
Kuna mambo mengi sana ambayo husabisha kuhisi hamu ya kuwa na mwanaume au mwanamke kila mara hapa nitaorodhesha machache yale ya muhimu.
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top