Ni kama wiki sita hivi zimepita tangu kumekuwa na tetesi za kwamba ndoa ya mastaa wawili, Mariah Careh na Nick Cannon imevunjika.
Story iliyoanza kuenea mitandaoni kuhusu wanandoa hao toka jana iko hivi, Nick Cannon ameandika talaka pamoja na kuanza kufuatilia taratibu za kisheria za kugawana mali kati yake na mkewe, Mariah Carey.
Cannon
amewashangaza mashabiki wake baada ya kuchukua uamuzi huo, japo hii
inaweza kumpa wakati mgumu Mariah ambaye mara zote ni kama alikuwa
akiamini watarudiana na Nick.
Mariah Carey huenda hii ikamuumiza zaidi, aliwah kusema kuwa hapendi kuona watoto wao mapacha Monroe na Morrocan wanaishi maisha ya kulelewa na mzazi mmoja, japo Nick alionyesha nia ya kuendelea kuwahudumia kwa kila kitu.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment