Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KUAMBIANA ALIMTABIRIA RECHO KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

ALIYEKUWA dairekta na muigizaji mkali Bongo, marehemu Adam Kuambiana alimtabiria staa wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ kuwa atajifungua mtoto wa kiume.

 
Staa wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’.
Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Recho ambaye ni wa leo wa kesho kujifungua, alikutana na marehemu maeneo ya Sinza jijini Dar na kumwambia atajifungua mtoto wa kiume na angependa aitwe Kuambiana.
 
Baada ya kupata habari hiyo, paparazi wetu alimvutia waya Recho ambaye alitiririka:
“Yaah! Kwanza alinipongeza kwa kuamua kubeba mimba, pili akaniambia nitajifungua kidume na nimuite jina lake, tuombe Mungu nitakapojifungua tutajua.”

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top