Staa wa filamu za Kibongo, Coletha Rymond ‘Koleta’ akiwa hospitali baada ya kuzimia kwenye msiba wa msanii mwenzake Kuambiana.
Alipotafutwa na paparazi wetu mara baada ya kutoka hospitali juzi, Koleta alifunguka:
“Kuambiana alikuwa mtu wangu sana, nilishindwa kabisa kuhimili kifo chake na kama unakumbuka ndiye ambaye nilianza kuigiza naye filamu yake ya kwanza ya Sauti ya Manka.”
Post a Comment