Masikini! Wakati akiendelea kutumikia kifungo cha
miaka saba jela huko Macau nchini China, mwanamitindo mwenye mvuto wa
kipekee Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick, ametwangwa
talaka na aliyekuwa mumewe,
Abdullatif Fundikira ‘Tiff’ na tayari
amemuoa Miss Tanzania 2011, Salha Israel.
Wakati mwanamitindo Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick akiwa na mumewe, Abdullatif Fundikira ‘Tiff’.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita baada ya gazeti
ndugu na hili, Amani kutoa habari ya Miss Tanzania kuolewa na mume wa
Jack, Tiff alisema kuwa mke wake wa sasa (Salha) amemuoa kihalali na
kwamba yeye siyo mume wa mtu kwa sababu ameshampa talaka Jack aliyemuoa
mwaka 2011.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Post a Comment