Featured

    Featured Posts

    Udaku

    Social Icons

    Udaku

Loading...

MADIWANI MANISPAA YA KINONDONI WAFANYA KIKAO

 
Naibu Meya, Songoro Mnyonge (kushoto), Mstahiki Meya wa manspaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (katikati) na Injinia Musa Natty.

 
 Diwani kata ya Kunduchi, Janeth Rite, akisisitiza jambo.
 
Baadhi ya madiwani kwenye kikao.
 
Diwani kata ya  Mabwepande.
 
Diwani Kata ya Sinza, Renatus Pamba, akiwasilisha  taarifa yake.
 
Baadhi ya wadau wa baraza hilo.
MADIWANI wa Manispaa ya Kinondoni, leo wamefanya kikao cha pili na kutoa taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha bajeti mwaka uliopita kuhusu elimu, mazingira na mipango miji.
Kikao hicho kimefanyika chini ya Mstahiki Meya, Yusuph Mwenda.

(GPL)

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright 2025 BONGO HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top