MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha.
Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala
alisema anasaka mimba kwa namna yoyote ili mwanaye Paula apate mdogo
wake hivyo suala hilo lipo katika mchakato yakinifu na mpenzi wake wa
sasa ambaye hakupenda kumwanika jina lake.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment