Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

SAUDA MWILIMA AANIKA NIDO ZAKE

MTANGAZAJI wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima ‘Mwarabu wa Kigoma’ juzikati alionekana akiwa ameachia nido zake ukumbini.
Mtangazaji wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima akipozi kwenye 'Red Carpet'.
Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Escape One, jijini Dar ambapo Sauda alikuwa ameambatana na mumewe, Kauli Juma huku sehemu ya kifua chake ikiacha nido zake wazi kutokana na nguo aliyokuwa ameivaa.
“Jamani hivi siku hizi imekuwa ni fasheni watu kuanika vifua vyao? Mnamuona Sauda na nguo aliyovaa, inaonekana ni ndogo sana hasa pale kifuani kwa sababu nido zote nje, pale akiinama tu zinachomoka mweeeh!,” aliongea mmoja wa watu waliokuwepo ukumbini hapo.
 USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top