Bwana Nkaissery amempa mnyakuzi wa ardhi
hiyo siku moja kuondoa sehemu ya ukuta iliobaki baada ya wanafunzi
kuuangusha na kisha kuondoka katika eneo hilo.
Nkaisery ameongeza kwamba serikali itaweka uzio katika ardhi hiyo na kuiacha kuwa uwanja wa kuchezea wa wanafunzi hao.
Nkaisery ameongeza kwamba serikali itaweka uzio katika ardhi hiyo na kuiacha kuwa uwanja wa kuchezea wa wanafunzi hao.
(CHANZO: BBC SWAHILI)
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment