Penzi lilipo baina ya Dj
 wa msanii Diamond Platnumz, Romeo Jones na Tuerny ambaye anafanana sana
 na Wema Sepetu ni la wazi sana na imefikia hatua hata wao wenyewe 
kuachia picha zao wakiwa sehemu za faraga na hata zile za screen saver 
kama alichofanya Romeo kuweka picha ya mpenzi wake na kupost kwenye 
social networker.
Picha yao iliyovuja wakiwa chumbani iko hapa chini 
Wengi wamekuwa hawamfamu
 Tuerny lakini historia fupi ni kwamba miaka ya nyuma alikuwa mpenzi wa 
Romeo lakini alimwacha na kwenda kuolewa marekani ila haikuisha mwezi 
akaachika na kurudi bongo na alivyorudi bongo wakarudiana na mpenzi wake
 wa zamani Romeo jones na ushahidi wa video iko youtube iko hapa chini 
na kama kifaa chako hakina uwezo bonyeza hapa
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI. 
Get Free Email Updates to your Inbox!
 
 
Post a Comment