
Madereva na pikipiki zao wakiwa kwenye gari la polisi.
KAMERA ya GPL imeshuhudia baadhi ya waendesha
pikipiki wakiwa wamekamatwa na askari wa usalama barabarani maeneo ya
Vingunguti, jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kutokuwa na leseni.
(GPL)
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment