Mwanamuziki huyo anakabiliwa na kesi ya kukamatwa na madawa ya kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar wakati akisafiri kuelekea mkoani Mbeya kwa ajili ya kutumbuiza mwaka jana.
Kesi hiyo imesomwa mbele ya Hakimu Waliarwanda Lema.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment