Ki ukweli Jamani Zari ni Mzuri wa sura , yeye kama yeye ni kifaa cha
aina yake kubali ukatae, kwenye hiyo picha hapo juu embu ona
alivyofanana na Kim Kardashian , yaani ni Diamond na Zari Ni Kama Kanye
West na Kim Kardashian jinsi wanavyopendeza....
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment