Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BASI LAKAMATWA NA SHEHENA YA MILIPUKO ......

Basi la Dar Express likiwa limesimamishwa kwa ajili ya Ukaguzi huo
Ukaguzi wa Basi hilo ukiwa unaendelea
Na mbeyayetublog
 Taarifa zilizotufikia muda huu ambazo Hazijathibitishwa Rasmi zinasema kwamba Basi la Dar Express lenye namba za usajili T 244 BXQ limekamatwa na Gunia zaidi ya 16 za Mirungi katika kituo cha ukaguzi cha Chekeri Korogwe Likitokea Arusha Basi Hilo lilikamatwa Jana Majira ya Saa nane Mchana na kupelekwa mpaka katika kituo cha wilaya cha Polisi Korogwe, mtu mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhisiwa anahusika na tukio hilo pia Konda wa Basi hilo anashikiriwa na Polisi. 
Askari wa Jeshi la Polisi wakiwa wanapakia Magunia ya Mirungi katika Gari lao
SHEHENA YA MILIPUKO YAKAMATWA NDANI YA BASI LA KLM EXPRESS MCHANA HUU
Kwa Taarifa ambazo Bado Hazijathibitishwa Rasmi zinasema kwamba kuna Shehena kubwa ya Milipuko ya hatari inayotumika kutengenezea Mabomu ya Kuvulia samaki na Kutengenezea Milipuko ya kupasulia Miamba Migumu Imekamatwa Eneo la Korogwe Mchana Huu Wakati wa Jeshi la Polisi walipokamata Basi la KLM EXP lenye usajili wa namba T491 ARB kwa ajili ya Ukaguzi. Milipuko hiyo ambayo imesafirishwa kwa njia ambayo sio sahihi kutokana na hatari yake ya kuwa kulikuwa na abiria na kama Basi Lingetingishika zaidi Ingeweza Kulipuka .
Taarifa zaidi itakuja hapa.. fuatilia
Basi Hilo baada ya Kukamatwa
Milipuko hiyo baada ya kukamatwa mchana huu
Askari wa Jeshi la Polisi Katika Kituo cha Korogwe akikagua Milipuko hiyo 
 USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top