Horodha hii ni ya mastaa waliyo na makalio mazuri tena makubwa.
Uchunguzi huu unalenga hasa makalio yaliyo jaa kama makalio ya Kim
Kardashian aidha ya Nicki Minaj. Uchanguzi umetokana na namna watu
wanavyo vutiwa, sababu kuna makalio makubwa lakini yasiyovutia hata
kidogo. Horodha hii inaanza namba 10 kushuka hadi namba 1.
10. NABILLA
Ni msichana mtangazaji kwenye televishieni. Makalio yake kufuatana na
uchunguzi katika mitindo ni kwamba yana muhundo mzuri yakifuatiwa na
miguu mirefu yenye kugonda. Makalio yake yanaeneza sheria kwa kuwekwa
katika horodha lakini kidogo kinachokosekana ni chavu la kalio hakuna.
Katika mahojiano Nabille aliwahi kuongea kwamba ubora wake uko katika
makalio yake.
9. SERENA WILLIAMS
Katika kundi la makalio yenye kuwa na misuli Serena anachukuwa nafasi
ya kwanza. Makalio yake yamerundikwa kama mipira miwili kubwa. Makalio
yake ni mazuri na ambayo anaweza kujigamba na kufurahia kwa sababu
yanapatikana katika kundi ya makalio makubwa.
8. JENNIFER LOPEZ
Makalio ya Jennifer yanapatikana katika kundi la makalio makubwa.
Kiuno chake siyo kikubwa na hilo usababisha muonekano mzuri wa makalio
yake.
7. NICKI MINAJ
Makalio yake yanachukua nafasi ya mbele kwa muhundo wake mzuri tena
anajulikana sana kwa uzuri wa makalio hayo. Mwanamziki huyo rapa
anatumia makalio yake sana katika mziki wake kwa kuendeleza kazi yake ya
sanaa. Fununu zingine ni kuhusu upasuaji uliofanyika ilikuboresha
makalio hayo.
6. BEYONCE
Namna gani waweza kuongelea swala la makalio bila kuongelea makalio
mazuri ya Beyonce. Makalio yake ndio yanayo msababisha Jay Z kukosa
amani kwa hofu ya kuibiwa. Hata hivyo makalio yake ni mazuri kwa kile
kinachosemekana mitindo ya kanzu.
5. AMBER ROSE
Mpenzi wa zamani wa Kany West, na mke wa Will Khalifa kwa sasa,
anawaridhisha wa rapa wa Marekani kwa aina ya makalio makubwa. Amber
anapatikana katika nafasi nzuri sana. Yuko juu.
4. COCO
Coco ni mmoja kati ya wale mastaa walio na makalio makubwa,
alijulikana baada ya kujiunga na rapa Ice T pia kutokana na ukweli
kwenye televishieni.
3. IGGY AZALEA
Iggy ni msichana mwenye umri wa miaka 21 rapa kutoka Astralia, kwa
mistari yake na makalio yake alipata kujulikana kwa haraka. Mara kwa
mara anaposti picha za makalio yake kwenye mitandao ya kijamii. Makalio
yake ni mviringo tena ya kushuka na kiuno cha kushuka. Watu
wanamliganisha sana na Nicki Minaj.
2. KIM KARDASHIAN
Makalio ya Kim ni kama vile mada ya mazungumzo. Kwa makalio yake kila
kona ya Hollywood ni kama vile wimbo wa taifa. Makalio yake yametulia
tena yakujivunia. Kilichomkosea ni miguu mirefu zaidi ilikuingia katika
horodha inayoitajika.
1. NICOLE MURPHY
Hajulikani sana kama mme wake wa zamani. Kufuatia mwili wake ulio
imara na makalio yanayotulia akiwa na umri wa miaka 40 Murphy ana kiuno
kizuri, miguu mirefu, kufuatana na hilo yeye ameingia katika ubora huo
wa Galbe. Kwa nini wasichana wa miaka 20 wawe na wivu kwa jaili ya
maumbile yake?
10. NABILLA
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment