Mwanasiasa
mmoja nchini India, ameweka historia ya aina yake baada ya kuwatunuku
Tuzo ya uaminifu wanyama kadhaa ikiwemo punda na swala akisema
wameonyesha uaminifu mkubwa na kuwazidi binadamu.
Vatal Nagaraj, ndiye
mwanasiasa ambaye aetoa tuzo kwa wanyama hao baada ya kujiridhisha kuwa
ni waaminifu na ni waaminifu, hutekeleza wajibu wao kwa nidhamu kubwa,
huku wanyama wengine aliowatunuku ni pamoja na mbwa na ng’ombe.
Wakati wa utoaji wa tuzo hizo, wanyama hao walipendeza kwa kuvalia shanga.
Punda walionekana kuwafurahisha
watazamaji waliokusanyika katika sherehe hiyo kwani walikuwa wamepambwa
maua, mwanasiasa huyo amesema punda hutumiwa kwa kiasi kikubwa kufanya
kazi nchini humo lakini jamii nyingi bado hazitambui mchango wao.
Love yake kwa wanyama haikuanza leo,
mwaka jana aliwahi kuzungumziwa kwa kituko chake alichokifanya kwa
kusherehekea siku ya Valentine akiwa na mbuzi!
Mcheki kwenye video hii.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment