Imeelezwa kuwa lori la mafuta lilikuwa katika spidi kali lilipogongana uso kwa uso na basi hilo.
Basi lilikuwa limebeba watu zaidi ya 60 na lilikuwa likielekea kwenye Mji wa Shikarpur kutokea Karachi.
Dk. Seemi Jamali, mkuu wa kitengo cha dharura katika Hospitali ya Jinnah mjini Karachi amesema kuwa wamepokea miili ya watu 57 huku akiongeza kuwa idadi inaweza kuongezeka.
Chanzo: BBC
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment