Featured

    Featured Posts

    Udaku

    Social Icons

    Udaku

Loading...

MASIKINI DADA UYU FUMANIZI SIKU CHACHE KABLA YA NDOA YAMFANYA AWE IVI. SOMA HAPA CHANZO....

Wakati mwingine watu wanashindwa kustahimili maumivu ya mapenzi na kufikia hatua kama hii
Dada huyu alichumbiwa na walikuwa wako vizuri tu na mpenzi wake ila wakati wa hatua za mwisho za Kukamilisha ndoa au hatua za mwisho za uchumba ndipo pale watu wanapo msingizia shetani, kwamba ni shetani alinipitia ila kwa dada huyu yake bahati mbaya kwani iligundulika na mpenzi wake kuwa kashaanza kuibiwa mapema kabla ya kuingia kwenye ndoa ndio mtego ulipo wekwa kwa ajili ya kumnasa mdada huyu pale anapo iba, za mwizi 40 ndipo siku ilipo fika jamaa hakuamini kuwa mwanadada aliye mpenda na kumjali kwa kila kitu angemfanyia usaliti kiasi kile,kama tunavyo jua hasira ni hasara jamaa alishusha kichapo cha maana kwa dada huyu na kusababisha majelaha makubwa kwa mwanadada.
                           Kipi cha kujifunza kwako mdada au mkaka katika hili? Naamini duniani sote ni wapitaji ila
Umakini katika maisha unatakiwa wa hali ya juu, langu moja michepuko haifai tulia na mmoja kujenga Tanzania yenye watu wenye afya bola. Mshauri kijana mwenzako pale usomapo habari hii.
CHANZO; BONGO PLUS.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright 2025 BONGO HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top