Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Video ya washiriki wa BBA 2014 wakicheza baada ya kupigiwa hizi bongofleva.

dancing 2 
Ni dakika 4 za video iliyorekodiwa kutoka kwenye TV kuhakikisha tu kilichofanywa na Mtanzania mwenzetu hakitupiti… ni Dj Tass ambae alituwakilisha Tanzania na kutumia sehemu kubwa ya time yake aliyopewa kupiga muziki, kuupiga muziki wa Tanzania ambapo single alizozigusa ni pamoja na Mwana ya Ali Kiba na single za wengine kama Yamoto Band.
Tazama picha lilivyokua kwenye hii video hapa chini…
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top