Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

LORI LALIPUKA MIKUMI MKOANI MOROGORO

Lori lililokuwa limebeba mapipa ya lami likiteketea kwa moto baada ya kulipukoa mapema leo asubuhi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro. Chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika.

Baadhi ya watu wakishuhudia tukio hilo la ajali.
(PICHA NA MICHUZI BLOG)
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top