Msanii wa filamu za Kibongo, Lucy Komba akiwa na mchumba wake aliyetambulika kwa jina la Janus.
Akizungumza na mwandishi wetu mara baada ya kuhojiwa juu ya picha
zilizozagaa mitandaoni, Lucy alisema kuwa picha hizo alizipiga akiwa na
mchumba wake huyo kwa hiari yake.“Huyo mzungu ni mchumba wangu wa siku nyingi anaitwa Janus, tunapendana sana ndiyo maana sijaficha kitu niliamua kuziweka picha hizo kwenye ukurasa wangu wa Instagram. Niacheni nifanye yangu,” alisema Lucy.
Post a Comment