Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA


 
 George Tyson enzi za uhai wake.

Marehemu Tyson akiwa na Monalisa pamoja na mwanae.
Mwongozi filamu na aliyekuwa mume wa msanii wa filamu Monalisa, George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari Morogoro akitokea mkoani Dodoma.
Gari alilopata nalo Ajali1
 Gari aina ya Toyota Hiace iliyomsababishia umauti TysonIMG_4214 IMG_4215 
 Picha kwa hisani ya Dj Choka

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top