
1.JIAMINI;-Mwanaume anapaswa kujiamini na kuacha kujiuliza mara
mbilimbili ujasiri wako ndo utakaokufanya kumpata mwanamke yeyote
umpendae.2.ENDELEZA MAZUNGUMZO MAREFU;-Mwanaumeunapomfuata
mwanamke hakikisha unaanzisha mazungumzo marefu ambayo yatamfanya
mwanamke ajielezee na pia tambua mwanamke wanapenda wanaume wenye stori
nzuri.
3.MSIFIE;-Hakikisha unamsifia mwanamke jinsi alivyovaa,anavyoongea,rangi ya nguo yake kwa kufanya hivyo itamfanya ajisikie mwenye amani mbele yako na atapenda kuwa karibu na ww.
4.AHADI ZA KUMJALI;-Mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo anapenda kuwa anadeka,mwambie kuwa upo kwa ajili yake na kwamba utamjali na pia fanya kitu chochote ili aamini hivyo.
5.USIJITAMBE MBELE YAKE;-Mwanamke hapendi mwanaume mwenye kujisifu kuhusu mafanikio yake ya kiuchumi bali hupenda mwanaume yule anayemweka mbele yeye kuliko mali zake.
3.MSIFIE;-Hakikisha unamsifia mwanamke jinsi alivyovaa,anavyoongea,rangi ya nguo yake kwa kufanya hivyo itamfanya ajisikie mwenye amani mbele yako na atapenda kuwa karibu na ww.
4.AHADI ZA KUMJALI;-Mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo anapenda kuwa anadeka,mwambie kuwa upo kwa ajili yake na kwamba utamjali na pia fanya kitu chochote ili aamini hivyo.
5.USIJITAMBE MBELE YAKE;-Mwanamke hapendi mwanaume mwenye kujisifu kuhusu mafanikio yake ya kiuchumi bali hupenda mwanaume yule anayemweka mbele yeye kuliko mali zake.
Post a Comment