
Watu wanasema picha huzungumza, lakini Batuli mwenyewe asema wao ni marifiki tuu, na sisi tunakubali, lakini wapo ambao wanaona kunachazaidi hapa....

“Can I ask u something!? Joel do u have a girlfriend!? Maana nahisi kama utapigwa hivi...... Halafu unajua nina bae au hujui!? Unajua kazi ya silaha hizi!? (akaweka picha yavisu na bastola)
Wewe je utakubali wako atokelezee namna hii na Me/Ke wako?
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment