MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’, amefunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa muda wowote kuanzia sasa.
“Mambo ya ndoa yapo tayari na anayesubiriwa ni mwanaume ambaye anataka kunioa ili alete barua ya uchumba, kwa sasa yuko nje kwa ajili ya mambo yake binafsi lakini atakapotua tu Bongo, muda wowote ndoa itafungwa,” alisema.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment