Mrembo na mwigizaji  wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” 
 akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi,  aliandika maneno 
haya mara baada ya kubandika picha hiyio hapo juu;
“ 
2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imekaaje?
Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI 
Get Free Email Updates to your Inbox!
 
 
Post a Comment