Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Wolper:Mwaka 2015 ni Mwaka wa Kujirusha na Kuisha Utakavyo

Mrembo na mwigizaji  wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper”  akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi,  aliandika maneno haya mara baada ya kubandika picha hiyio hapo juu;

2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana

Hii kwako imekaaje?

Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top