Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Wilfried Bony: Ajiunga rasmi City

Kifaa Bony
Mshambuliaji wa Wilfried Bony amesaini mkataba wa miaka minne unusu kuichezea timu Manchester City wenye thamani ya £28milion.
Bony amekubali mkataba huu na atavaa jezi namba 14iliyokua ikitumiwa na nyota na Javi Garcia.
Baada kusajiliwa na City Bony ameelezea ni "Ni heshima kubwa kuwa hapa na ni changamoto kwangu".
Mchezaji huyo mwenye miaka 26 alitua ligi ya England mwaka 2013 akijiunga na klabu ya Swansea akitokea Vitesse Arnhem ya Uholanzi kwa ada ya uhamisho ya £12milioni na kuwa moja kati ya wafungaji bora katika ligi kuu.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top