Msanii wa muziki Kala Jeremiah ni miongoni mwao ambapo alisema: “Mapinduzi hayo ni sherehe ambayo inatukumbusha jitihada walizofanya viongozi wetu kwa kuikomboa Zanzibar kutoka kwa watawala wan je lakini pia tuikumbuke kwa matendo na si kwa maneno.”
(GPL).
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment