
Chikawe amesema CUF wakiongozwa na kiongozi wao walikaidi amri ya polisi, na ndiyo maana walipigwa.
Pia ameongeza kuwa CUF inatafuta umaarufu wa kisiasa na huruma ya wananchi.
"Jeshi la polisi halitamuogopa,kumhofia mtu,ninawaagiza polisi nchini kote kufanya kazi yao bila hofu wala kumuogopa mtu"- Chikawe
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment