Msanii wa Hip Hop, Izzo Business, akipagawisha mashabiki.
Wema akiselebuka na meneja wake Martine Kadinda.
MKURUGENZI wa kampuni ya Endless Fame, Wema
Sepetu, usiku wa kuamkia leo amemtambulisha msanii mpya wa Bongo
Fleva, Ally Luna, ambaye takuwa mmoja wa wasanii wa kampuni hiyo na
kusimamiwa shughuli zote za kimuziki kama ilivyo kwa mwanamuziki Mirra.
Tukio hili lilifanyika ndani ya Ukumbi wa Club 71 uliopo Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa pia na shoo maalum ya kufunga mwaka kwa kampuni hiyo na kuwashukuru wadau wote waliowaunga mkono.
Shoo hiyo ilisindikizwa na wasanii kibao wa Bongo Fleva, wakiwemo Bob Junior, Godzilah, Izzo Business, Barnaba Boy, Linex na Mirra.
Tukio hili lilifanyika ndani ya Ukumbi wa Club 71 uliopo Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa pia na shoo maalum ya kufunga mwaka kwa kampuni hiyo na kuwashukuru wadau wote waliowaunga mkono.
Shoo hiyo ilisindikizwa na wasanii kibao wa Bongo Fleva, wakiwemo Bob Junior, Godzilah, Izzo Business, Barnaba Boy, Linex na Mirra.
(GPL)
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment