Hivi majuzi mitandaoni kulikuwa na picha zilizomuonyesha mwanadada huyo akiwa anachorwa tatoo na jamaa wanaofahamika kama MALAIKA TATOO.
Katika moja ya picha hizo ilimuonyesha Wolper ameketi kwenye kiti cha kibosi ya cha kuchorewa huku amevalia mavazi ya ki-tom boy meusi na bonge la NDULA, huku jamaa mchoraji akionekana kwa pembeni anamchora, Wolper aliandika “ Ma Favorite tattoo place in Tz ..I love what he's doing” chini ya picho hiyo.
Picha hii iliwafanya mashabiki wake wasubili kwa hamu kubwa kuiona tatoo hiyo mpya ya mwanadada huyu ambaye ni moja kati ya waigizaji wa hapa Bongo wenye wafuasi wengi huko mitandaoni.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment