Klabu ya Manchester City imezindua kituo chake cha kisasa ambacho kimegharimu paundi milioni 200 karibu na ulipo uwanja wake wa nyumbani wa Etihad.
Kituo hicho cha kisasa kina viwanja kadhaa vya nje na ndani huku kukiwa na sehemu kadhaa za kufanyia mazoezi kwa timu ya kwanza na timu za vijana .
Picha ya juu inayoonyesha kituo kipya cha Manchester City.
Wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Man City wakiwa kwenye eneo la kupumzikia wachezaji wakati
wa mazoezi.
wa mazoezi.
Ukuta unaoonyesha nukuu ya maneno aliyozungumza Sheikh Mansour wakati alipoinunua klabu hiyo
mwaka 2008 .
mwaka 2008 .
Kocha
wa timu za vijana za Manchester City Patrick Vieira akiwa na mchezaji
wa zamani wa Arsenal
Martin Keown wakiwa kwenye ziara ndani ya kituo kipya cha Man City.
Martin Keown wakiwa kwenye ziara ndani ya kituo kipya cha Man City.
Wachezaji wa kikosi cha kwanza wakifanya mazoezi ndani ya kituo cha Manchester City.
Kituo cha Man City kina Gym tatu ambazo zinatosha vikosi vyote kufanya mazoezi kwa wakati mmoja .
Daraja ambalo linatenganisha uwanja wa nyumbani wa Man City Etihad na kituo kipya cha klabu hiyo .
Beki
wa Manchester City Pablo Zabaleta akiwa kwenye uwanja wa timu ya vijana
ambao una uwezo
wa kuchukua mashabiki 7000 kwa wakati mmoja .
wa kuchukua mashabiki 7000 kwa wakati mmoja .
Viwanja vya nje ambavyo ni sehemu ya kituo hicho kipya cha Manchester City.
Kituo hiki kinatimiza ahadi ambayo Sheikh Maosur aliiweka wakati alipoinunua Manchester City mwaka 2008 ambapo aliahidi kuwa atahakikisha anaijenga klabu hiyo na kuifanya kuwa klabu ya kisasa inayokwenda na wakati na si kuwa na kawaida ya kununua wachezaji nyota pekee.
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment