
Askari
wa jeshi la polisi na wasamaria wema wakiwa wamemdhibiti binti
anayedaiwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa la saba moja ya shule ya msingi
Manispaa ya Morogoro,
binti huyo anadaiwa kukurupushwa katika moja ya nyumba ya kulala wageni eneo la Mawenzi. Hapa picha inaonesha wakati akipelekwa kituo kidogo cha polisi kwa kile kinachodaiwa kujihusisha na mapenzi.
binti huyo anadaiwa kukurupushwa katika moja ya nyumba ya kulala wageni eneo la Mawenzi. Hapa picha inaonesha wakati akipelekwa kituo kidogo cha polisi kwa kile kinachodaiwa kujihusisha na mapenzi.

Wasamalia
wema wakiwa wamemdhibti binti anayedaiwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa
la saba Manispaa ya Morogoro baada ya kumnusuru na kipigo
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI.
Post a Comment