Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PICHA ZA RAY C AKIWA MTAANI LEO, KUHAMASISHA MATEJA KUACHA UNGA

 
Leo Ray C Foundation tuliwatembelea waathirika wa madawa ya kulevya Kinondoni!!!
nimeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya Methadone Mwananyamala....
nimefurahisana kuskia kutoka Kwao kwamba na wao wamechoka na Maisha ya utumwa......
Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......


Ray C Foundation Pamoja inawezekana...

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top