Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

YANGA YAINOA POLISI MORO 1-0 UWANJA WA JAMHURI MKOANI MOROGORO

Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akipongezwa na mwenzake Kpah Sherman baada ya kuifungia timu yake bao pekee dhidi ya Polisi Moro jana.
Danny Mrwanda (kati) akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Polisi Moro jana.
Kikosi cha timu ya Yanga.Kikosi cha timu ya Polisi.Mchezaji wa Polisi Moro akimtoka mchezaji wa timu ya Yanga.
TIMU ya Yanga SC jana ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi iliyopigwa Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro. Bao pekee la Yanga liliwekwa kimiani na mshambuliaji Danny Mrwanda.
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL, MOROGORO)
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top