Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali
Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika Hospitali ya AMI
jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe
Adam Malima, naibu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi
hiyo.
PICHA: IKULU
USISITE KUTUACHIA UJUMBE WAKO HAPO CHINI
Post a Comment