Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

SHAMSA: KUAMBIANA ALIKUWA JINIAZ

DIVA wa filamu nchini, Shamsa Ford amefunguka ya moyoni kuhusiana na kifo cha muigizaji na muongozaji wa filamu Bongo, Adam Phillip Kuambiana kwa kumuelezea kuwa alikuwa ni mtu mwenye kipaji kilichopitiliza (Giniaz).

Shamsa akilia kwa simanzi wakati wa msiba wa Kuambiana.
Akipiga stori mbili-tatu na mwandishi wetu, Shamsa alisema kuwa, Kuambiana alikuwa na kitu ambacho waandaaji wengine wa filamu hawana, alimchukulia kama muongozaji namba moja hapa nchini.
“Kwanza alikuwa binamu yangu kabisa, alikuwa ni mtu mcheshi, mwenye kuongea na kila mtu, kumsikiliza, hana maringo,” alisema.
Marehemu kuambiana alifariki ghafla, Jumamosi ya Mei 17, Mwaka huu akiwa njiani akipelekwa hospitalini na kuzikwa Jumanne katika makaburi ya Kinondoni.

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top