Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Faraja Kota Nyalandu 'Sio Lazima Ujue Kila Kitu Kila Wakati na Hutokaa Ujue Kila Kitu Kila Wakati'

Sio wakati wote utakuwa na majibu. Sio wakati wote utajua kama unapatia au unakosea. Sio wakati wote utakuwa na uhakika. Ninachotaka kukuambia ni kuwa; it is okay. Si lazima ujue kila kitu kila wakati. Na hautokaa ujue kila kitu kila wakati (translation: don't be self-righteous). But it's okay. Tujue mipaka yetu, tujue uwezo wetu na tujue mapungufu yetu. Tujitambue. Tujikubali. Tuanze kujiboresha kuanzia hapo. But put your worries to rest because it's okay, we are human beings afterall...here is one of my favourite lines: Feel the fear and do it anyway! P. S 

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright BONGO HABARI
Back To Top